KONDAKTA WA UDA ANASWA AKIPANDISHA NAULI


Basi la Uda lililonaswa maeneo ya Manzese, Dar likiwatoza abiria nauli ya shilingi elfu moja kama malipo ya kwenda Mbezi, Mwisho.
Kamera yetu ilishuhudia tukio la basi la Uda maeneo ya Manzese likiwatoza abiria nauli ya shilingi elfu moja kama malipo ya kwenda Mbezi , Mwisho wakati nauli halisi ya kwenda huko ni shilingi 500/= kutokea Manzese. Alipoulizwa kondakta wa basi hilo sababu za kuwatoza hivyo hakuwa na majibu sahihi zaidi ya kujiumauma tu na kuamuru dereva aondoe gari eneo hilo.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post