MAZINGIRA YA UCHAFU MSASANI, DAR, NI TISHIO KWA MAGONJWA YA MLIPUKO


Biashara inaendelea licha ya  kuwepo dimbwi lenye maji taka katika moja ya mitaa ya Msasani.Eneo hili limegeuka dampo kwa wakazi wa bonde la mpunga Msasani.Moja ya miitaro  michafu Msasani.Mabati hayo katikati yamezunguka kitu kinachoitwa choo!Eneo lililojaa uchafu ambao haujatolewa kwa siku nyingi!Maji machafu yaliyotuama.Mazingira haya ni hatarishi sana kwa afya.Mtaro wa maji machafu ukipita katikati ya nyumba.Mtoto akivuka daraja eneo la maji machafu.Mwanafunzi akipita juu ya ukuta kwenda kwao.  Eneo lote limejaa maji machafu.Kila mahali mazingira ni ya maji machafu.Moja ya nyumba zilizo katika mazingira machafu ya  Msasani.Picha inajieleza hali halisi ya miundo mbinu yetu mibovu na mazingira machafu.Inaonekana mazingira machafu kwa watoto hawa ni jambo la kawaida.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post