TASWIRA ZA SHEREHE YA MEI MOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM



Maandamano ya wafanyakazi yakiingia Uwanja wa Uhuru na kupokelewa na Rais Kikwete
 Wafanyakazi wa Daily News na Habari Leo 
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili Uwanja wa Uhuru.…
Maandamano ya wafanyakazi yakiingia Uwanja wa Uhuru na kupokelewa na Rais Kikwete
 Wafanyakazi wa Daily News na Habari Leo 
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili Uwanja wa Uhuru.
Rais Kikwete akiwapungia Wafanyakazi
Rais Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Mkurugenzi mkuu wa SSRA Bi. Irene Kisaka akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa OSHA Dk Akwilina Kayumba (shoto)  , Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt Ramadhani Dau na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio
Rais Kikwete na viongozi wengine wakipokea maandamano ya wafanyakazi












 














































 

 

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post