SERENGETI BOY WA SHILOLE NUHU MZIWANDA AMECHUKUA UAMUZI MGUMU JUU YA PENZI LAKE KWA SHILOLE




"Kwasababu Nampenda Mpenzi Wangu Shilole Nimeamua Kujichora Tattoo ya Jina Lake 'Shishibaby' Kwenye Mkono wangu, wakati nachorwa iliuma sana kuliko tattoo yangu ya Kwanza na hii Tatoo Haita Futika Milele na Milele" Nuhu Mziwanda aliandika maneno hayo 

Naye Shilole Alipost Picha hiyo ya Tatto na Kusema "Thanks My Love for This Umeonyesha Love ya Ukweli" 

Je wewe Unaona ni Sahihi Kujichora Tattoo ya Jina la Mpenzi wako ambae hata bado hamjui kama mtaoana ? Na je Mkiachana itakuwaje?

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post