KWA AKINA DADA > HUYU NDIO ANAEFAA KUWA MUMEO

humph the GREAT
 
Kwa bahati nzuri au mbaya ukakutana na mwanaume na mkaanza mahusiano takribani miezi mitatu akiaapa kukupenda kutokukutenda na wewe pia ukimrudishia majibu kama hayohayo anayokuambia, kwa muda mfupi mkawa mmezoeana na kuaminiana nje ya kupendana ambapo mlipendana tokea mwanzo mnapokutana.

kwa mara ya kwanza unapanga kuonana nae mahali fulani kwa ajili ya kujadili mambo machache ndani ya mahusiano yenu ili kudumisha uaminifu wenu,

baada ya kukutana nae akaomba romance, takribani muda wa dakika 15 mkawa mnabadilishana mate na katu hajasubutu kukushika mahali pengine popote anaconcetrate  kwenye mdomo tuu bila kujali kuna vingi vinavyofuata na ni vingi vya kulinganisha katika mwanzo huo wa sehemu hiyo nyeti...

 "Muda wa dakika 15 mnabadilishana mate na hathubutu kukugusa sehemu nyingine yoyote ambayo inaenda papendikula na kitendo hicho, exmp.... chuchu, maziwa, mapaja au hata kupeleka mkono kuleeee"  

HUYO NDIO ANAEFAA KUWA MUMEO, FIKIRIA NI WANGAPI UMEKUTANA NAO WA AINA HIYOO.. KAMA SIO MIMI TUU!!!!!!!


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post