PICHA 7: Diamond Platnumz, Fella na Tale msibani kwa Waziri Mwakyembe

humph the GREAT
Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz, Mameneja wake Said Fella na Babu Tale ni miongoni mwa mastaa wa Bongo waliofika nyumbani kwa Waziri wa Habari Dr. Mwakyembe kutoa pole kufuatia kifo cha Mke wake Linah George.

 
 
 

 
 
 

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post