BONGO MOVIE UNIT YATOA MSAADA KATIKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA



Kundi la Bongo Movie Unit ambalo linaundwa na baadhi ya wasanii wa filamu Swahiliwood leo limetoa msaada wa vitu mbalimbali katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam. Kundi hilo lilitoa msaada huo kwa ushirikiano wa kampuni ya Mabibo Beer(wauzaji wa vinywaji vya Windhoek na Climax) ambayo inadhamini maadhimisho ya miaka mitatu tangu kuundwa kwa kundi hilo ambalo kwasasa mwenyekiti wake ni Steve Nyerere.








Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post