MSANII DIAMOND PLUTNUM AKIWA KATIKA INTERVIEW NCHINI NIGERIA-LAGOS NDANI YA KITUO CHA RADIO BEAT_FM



Nipo nchini  nigeria kwa shughuli ya kimusiki, ikiwemo kukamilisha collabo na baadhi ya wasanii wenzangu kutoka nchini huku, Lakini pia kushoot video ya wimbo wangu mpya. Mapema leo nimefanyiwa mahojiano na vituo vikubwa vya Radio nchini hapa ikiwemo  BEAT FM. Alisema diamond.....













Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post