humph the GREAT
chanzo; millard ayo
Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Dr Harrison Mwakyembe alisimama Bungeni kujibu swali la
Mbunge wa viti maalum CCM Catheline Magege aliyehoji sababu za Serikali
kufungia nyimbo za wasanii baada ya kuziachia na kushindwa kuzuia
tatizo hilo kabla.
Waziri Mwakyembe amesema…>>>“Kama Serikali hatuna shida na wasanii wetu, lengo letu ni kulinda maadili, kila taifa lina maadili yake na ndio maana hata wakina Rick Ross na Wizkid wanafungiwa kazi zao, sisi tunalalamika kufungiwa kwa nyimbo mbili? Tutaendelea kuwafungia ili kulinda utamaduni wetu
waziri mwakyembe awapa ugumu wasanii
chanzo; millard ayo
Waziri Mwakyembe amesema…>>>“Kama Serikali hatuna shida na wasanii wetu, lengo letu ni kulinda maadili, kila taifa lina maadili yake na ndio maana hata wakina Rick Ross na Wizkid wanafungiwa kazi zao, sisi tunalalamika kufungiwa kwa nyimbo mbili? Tutaendelea kuwafungia ili kulinda utamaduni wetu
waziri mwakyembe awapa ugumu wasanii