MSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA


Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a enzi za uhai wake.
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mhe. Moshi Mussa Chang'a amefariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na kisukari.
Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
AMEN
(Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa)

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post