Ratiba ya mazishi ya msanii Maalim Gurumo aliyefariki jana.....



Leo saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.  Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa maziko  itaanza. Ndugu wa marehemu Gurumo wakiwa katika picha ya pamoja, kuanzia kushoto ni mtoto wake Mwalimu Muhidin,

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post