BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI SAFI NA SALAMA MKOANI SINGIDA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi kisima katika Shule ya sekondari Kinambeu iliyopo Singida. Kulia ni Mratibu wa mradi huo kutoka  taasisi isiyo ya kiserikali ya Nkwamira, Noreen Mazalla.

Mkuuwa Wilaya ya Iramba, Yahya Nawanda akizungumza katika hafla ya  kukabidhi visima vilivyotolewa na benki ya CRDB…

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi kisima katika Shule ya sekondari Kinambeu iliyopo Singida. Kulia ni Mratibu wa mradi huo kutoka  taasisi isiyo ya kiserikali ya Nkwamira, Noreen Mazalla.
Mkuuwa Wilaya ya Iramba, Yahya Nawanda akizungumza katika hafla ya  kukabidhi visima vilivyotolewa na benki ya CRDB mkoani Singida.

 MkurugenziMtendaji wa Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Nkwamira, ambaye pia ni  mratibu wa mradi huo,Noreen Mazalla akizungumza wakati wa hafla hiyo kukabidhi kisima katika Shule ya Sekondari Kinambeu mkoni Singida.

Kisima kilichochimbwa na benki ya CRDB kwa ajili ya Shule ya Sekondari Kinambeu.


 Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) akizindua Kisima cha maji katika Shule ya Sekondari Kinambeu, wilaya ya Iramba Mkoani Singida, mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Yahya Nawanda na Kulia ni Mratibu wa mradi huo kutoka  taasisi isiyo ya kiserikali ya Nkwamira, Noreen Mazalla.

 Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Yahya Nawanda na Kushoto  na kulia ni Mratibu wa mradi huo kutoka  taasisi isiyo ya kiserikali ya  Nkwamira, Noreen Mazalla.

 Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. CharlesKimei (kushoto), akizindua kisima cha maji katika Shule ya Sekondari Kinambeu iliyopo katika Wilaya ya Iramba Mkoani Singida.
Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akimtwisha ndoo ya  maji mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kinambeu, Joyce Zakaria, baada ya  kuzindua kisima cha maji shuleni hapo. Hafla hiyo ilifanyika Mkoani Singida, mwishoni mwa wiki.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kinambeu wakiimba nyimbo wakati wa hafla ya  kukabidhi kisima kilichochimbwa na Benki ya CRDB kwa ajili ya Shule hiyo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Nkwamilla ambaye pia
ni Mratibu wa mradi huo, Noreen Mazalla (kulia), akimshukuru Mkurugenzi  Mtendaji wa  Benki ya CRDB,Dk. Charles Kimei

Wanafunziwa shule ya Sekondari Kinambeu wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya  kisima walichokabidhiwa na Uongozi wa Benki ya CRDB. Katikati ni  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.

 OfisaUhusiano Mwandamizi wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Nkwamilla ambaye pia ni Mratibu wa mradi huo, Noreen Mazalla.
Wanafunzi wa Shuke ya Sekondari Kinambeu wakitumbuiza kwa nyimbo.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post