mmmh Wema kawa mzungu et "MIMI NA UZUNGU WANGU"

humph the GREAT
Jana usiku katika taarifa ya habari ya TV1, habari ikielezea uhamasishaji wa wasanii kuupa kipaumbele miziki yenye mahadhi ya uswahili kama segere na singeli nimemsikia Wema Sepetu akihojiwa na kuzungumza haya:-

"Mimi pamoja na uzungu wangu lakini huwa napenda nyimbo zenye uswahili kama hizi"

Kwa aliyeelewa vizuri hiyo kauli ya Wema ilimaanisha nini? Je Kweli Wema ni Mzungu?

Nawasilisha.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post