Fiesta Yafunika Ndani Ya Tabora

humph the GREAT

TAMASHA la Tigo Fiesta 2016 usiku wa kuamkia leo limeonyesha hali ya kukubalika vilivyo kwa wakazi wa Tabora baada ya kuonyesha hali ya kuitikia vilivyo kwa kufurika katika  Uwanja wa Al Hassan mwinyi wa mjini Tabora.

shilole-copy
shilole-copy
Staa mwenye makeke wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akicheza na shabiki wake Fiesta 2016 usiku wa kuamkia leo katika  Uwanja wa Al Hassan mwinyi wa mjini Tabora.
shilole-akilambwa-na-mbwana-wa-tabora-copy
shilole-akilambwa-na-mbwana-wa-tabora-copy
Shabiki akimbusu shilole shingoni.
img_8652-copy
snura2-copy
img_8652-copy
Msanii Snura Mushi ‘Snura Majanga’ akifanya yake.
snura-copy
snura-copy
Snura akiongea na mashabiki wake.
img_8507-copy
img_8507-copy
Mkali wa Bongo Fleva, Ben Pol akifanya yake.
niki-wa-pili-copy
niki-wa-pili-copy
Niki wa Pili akiwakilisha Crew ya Weusi.
img_8520-copy
img_8520-copy
Mashabiki wakiwa wamepagawa na shoo ya Fiesta.
jux-na-mcheza-shoo-wake-copy
jux-na-mcheza-shoo-wake-copy
Staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo wake wa Wivu, Juma Khalid ‘Jux’ akicheza na shabiki wake.
shaibu-copy
shaibu-copy
Director Shaibu akiachia vimbwanga jukwaani.
img_8565-copy
img_8565-copy
Msanii wa muzuki wa bongo fleva Nuh Mziwanda akiongea na mashabiki wake.
young-killer-copy
Mkali kutoka pande za Mwanza, Young Killer akichana mistari stejini.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post