humph the GREAT







Leo Septemba 10, 2016, tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa Ritcha 5.7 limeikumbuka mikoa ya Kanda ya Ziwa hasa Kagera na Mwanza na kusababisha maafa makubwa ikiwemo nyumba za watu kubomolewa.
Mbali na Mikoa hiyo ya Tanzania, pia tetemeko hilo limeikumba baadhi ya miji na majiji ya nchini Uganda ikiwemo KampalaMbarara iliyopo Kusini Mashariki mwa nchi hiyo.
UPDATES:
– Imearifiwa kuwa tetemeko hilo limerudia tena likiwa na mtikisiko mkubwa zaidi.
– Nyumba kadhaa zimebomolewa.
– Pia taarifa za vifo zimesikika.







Leo Septemba 10, 2016, tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa Ritcha 5.7 limeikumbuka mikoa ya Kanda ya Ziwa hasa Kagera na Mwanza na kusababisha maafa makubwa ikiwemo nyumba za watu kubomolewa.
Maeneo yalioathirika zaidi kwa Tanzania ni, Bukoba, Nsuga (zote za Kagera) na Baadhi ya maeneo ya Mwanza.
Mbali na Mikoa hiyo ya Tanzania, pia tetemeko hilo limeikumba baadhi ya miji na majiji ya nchini Uganda ikiwemo KampalaMbarara iliyopo Kusini Mashariki mwa nchi hiyo.
UPDATES:– Imearifiwa kuwa tetemeko hilo limerudia tena likiwa na mtikisiko mkubwa zaidi.
– Nyumba kadhaa zimebomolewa.
– Pia taarifa za vifo zimesikika.
Tags
HABARI