ONYO LA RIDHIWANI KWA DIAMOND PLATNUMZ

humph the GREAT

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ameponda Diamond na Ali Kiba kuwa na bifu akisema zinaweza kusababisha madhara makubwa akitolea mfano bifu ya Tupac na notorious big

Pia amesema mzee wake anapenda muziki lakini wa zamani ila wasanii wa bongo flava alikuwa akikutana nao kwa kuungabishiwa na yeye

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post