PICHA 25: Mimi Mars (mdogo wake Vanessa Mdee) kaingia rasmi kwenye Bongofleva

humph the GREAT

Usiku wa February 17 2017 Mwimbaji Vanessa Mdee aliandika historia mpya katika maisha yake ya muziki, usiku huo ilikuwa ni maalum kwa Vanessa Mdee kumtambulisha msanii wake wa kwanza kutoka katika label yake ya Mdee Music.
Mdee Music jana imemtambulisha Mimi Mars kama msanii mpya na kuitambulisha video yake mpya inaitwa Sugar‘ ambayo itaanza kuoneka wiki ijayo mitandaoni na katika TV stations mbalimbali…. hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio lenyewe na chini mwisho kuna mahojiano na Mimi Mars.

Rapper Rosaree na Feza Kessy

Mimi Mars kwenye Interview Red capert

Support kutoka kwa ndugu na marafiki

Feza Kessy na Mimi

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Mimi na Jux

Shetta na Mimi Mars

 

 


 

Friends na Mimi

 

 

Mimi Mars kwenye stage

Rosaree

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post