humph the GREAT
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2007, Richard Dyle Bezuidenhout leo ametembelea studio za Global TV Online zilizopo Mwenge, Bamaga jijini Dar na kufanya mahojiano katika kipindi cha Exclusive Interview.
Richard aliambatana na prodyuza Episcopere Emmanuel ambaye amesimamia filamu yake mpya iitwayo Mchumba Siyo Atm. Filamu hiyo mpya inatarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni. Usikose kuangalia Mahojiano hayo kesho jioni kupitia Youtube channel ya Global TV Online au www.globaltvtz.com
Mshindi wa Big Brother Africa 2007, Richard Bezuidenhout (kulia) akiwa na Prodyuza Episcopere Emmanuel ndani ya studio za Global TV Online leo.
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2007, Richard Dyle Bezuidenhout leo ametembelea studio za Global TV Online zilizopo Mwenge, Bamaga jijini Dar na kufanya mahojiano katika kipindi cha Exclusive Interview.
Richard aliambatana na prodyuza Episcopere Emmanuel ambaye amesimamia filamu yake mpya iitwayo Mchumba Siyo Atm. Filamu hiyo mpya inatarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni. Usikose kuangalia Mahojiano hayo kesho jioni kupitia Youtube channel ya Global TV Online au www.globaltvtz.com
Tags
Michezo na burudani

