humph the GREAT
Mechi kati ya Everton na Gor Mahia iliyochezwa Uwanja wa Taifa Alhamisi hii imeacha matukio mengi ya kihistoria katika soka nchini Tanzania. Mchezo huo ulimalizika kwa vijana hao wa Donald Koeman kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Gor Mahia ya nchini Kenya.
Moja ya tukio kubwa ambalo lilijitokeza katika mchezo huo ni lile la
shabiki kuingia uwanjani katikati ya mchezo na kwenda kumkumbatia
mshambuliaji machachari wa Everton, Wayne Rooney. Hata hivyo kijana huyo
aliachiwa muda mfupi baabaye baada ya Mwenyekiti wa Usalama wa Mkoa wa
Dar es salaam, Paul Makonda kuamuru kijana huyo kuachiwa
https://youtu.be/lGDcHRwyrow
Mechi kati ya Everton na Gor Mahia iliyochezwa Uwanja wa Taifa Alhamisi hii imeacha matukio mengi ya kihistoria katika soka nchini Tanzania. Mchezo huo ulimalizika kwa vijana hao wa Donald Koeman kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Gor Mahia ya nchini Kenya.
https://youtu.be/lGDcHRwyrow
Tags
Michezo na burudani