Breaking News: Rais Magufuli amteua Gavana wa Benki Kuu

humph the GREAT

Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ametangaza kuteua Profesa Florens Luoga kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania akipokea kijiti kutoka kwa Gavana wa awali, Profesa Benno Ndulu.
Rais Dkt. Magufuli ametangaza uteuzi huo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vyeti kwa Kamani ya zilizofanya uchunguzi wa kiwango, aina na thamani ya madini katika makinikia yaliyopelekea mazungumzo na Kampuni ya Barrick Gold.

Profesa Luoga alikuwa ni mmoja wa Wajumbe wa Kamati hiyo.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post