Odinga: Hakutakuwa na Uchaguzi Kenya 26 Oktoba

humph the GREAT
 Odinga: Hakutakuwa na Uhaguzi Kenya 26 Oktoba 
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesisitiza kwamba muungano wake hautashiriki uchaguzi wa marudio wa urais ambao umepangiwa kufanyika Alhamisi.
Amesema kwamba haamini kwamba utakuwa huru na wa haki.
Bw Odinga aliongoza mkutano wa kisiasa Bondo, magharibi mwa Kenya Rais Kenyatta alipokuwa anaongoza maadhimisho ya sikukuu ya Mashujaa jijini Nairobi.
Ameahidi kutoa tangazo kwa wafuasi wake Jumatano.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post