Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Penzi la shemeji snura sehemu ya 04

humph the GREAT
 
... Ilipoishia
... Baadae nikaona aaah isiwe kesi acha namimi nimuoneshe ufundi wangu, ndipo nilipo mnyanyua na kumlaza kitandani na mimi kuanza kumpa vitu vya ukweli, kiukweli binafsi niko vizuri sana kwenye mambo hayo kana kwamba mtu akiniona anaweza kusema ni kama niliingia darasani kusomea mautamuz, niliendelea kumshika sehemu mbali mbali ambazo nilijua tuu nikifanya vile ni kiasi gani mtoto wa kike atazidi kuzipokea raha ninazo mpa.

Songa nayo
Kiukweli mery alikuwa ni msichana mrembo kwa kila kitu ukianzia unywele wake ulikuwa mrefu na laini mfano wa unywele wa kiarabu, rangi yake ilikuwa imechanganyika ya nyeusi na ya kiarabu na kutoa rangi moja soft sana isiyo kuwa na hata kipele wala mkwaruzo wowote ule, kiunoni amemegeka mfano hakuna ana mgongo unaofaa kweli kwa wa mwanamke mguu ndio usiseme wa bia uliojijenga vilivyo, kwa kweli baada ya kumuandaa vilivyo na mwenyewe akakubali
"Mmmmmh ray"
"Naamu"
"Jmani shsshshsh"
"Vp bby"
"Ayiiiiiii oooh"
 Zilikuwa ni baadhi ya kelele za mery wakati kikiendeleq kutembelea maeneo husika ambayo nilijua wazi ningeyafanyaje yangeweza kumfanya ajisikie yuko vizuri na raha zote azipate basi tuliendelea kuburudishana ilihali kila mtu alijitahidi kabla ya game kuanza kila mmoja awe ameandaliwa vizuri..
  "Aaasssss uwiiiiiiiiii shshshshshshsh my oooooh bby, my banah weka mi naumia"
"Unaumia tena ina maana ulimi wangu unaunguza au"
"Bby banah acha banah tuanze sasa"
    Mery alipoona mi nimenogewa kuupitisha ulimi mwilini mwake na maeneo ambayo alihisi raha ilioje alinyanyuka na kunilaza mimi chale na yeye akaja akanikalia juu kwa haraka akaupeleka mdomo wake ukakutana na lips zangu na yeye akaanza kujihudumia, tulienga kama dakika 20 hivi na mimi nikanyanyuka nikamlaza na yeye chale ili kuendeleza mapigano mara akanyanyuka akakaa kwenye sofa lililokuwemo mula ndani na kukaa katika staili ya aina yake kisha kuendelea na vita yenye raha ndani yake basi baada ya kama saa moja hvi baadae wote tulikiwa tumejipanga kitandani mithili ya karoti zipp sokoni zinauzwa kwa kweli kila mtu alionekana kuchekacheka ikionesha kuwa amelidhika na shoo ya leo
 "Daaah ray mambo uliyonipa leo siwezi sahau aise"
  "Mambo gani mbona kawaida sana sema uliyonipa wewe ndio kiboko aise kwanza sijawahi pewa, na asante sana mpenzi"
 "Mwangalie kwanza, mimi ndo inatakiwa nikushukuru wewe"
  "Kwa lipi,?
  "Kwa kunipa huduma nzuri maana khaaa ni kitambo kweli yan"
  "Aaah acha hizo habari banah, na ila mtoto wa kike uko vizuri wewe aisee, yaan nusu kidogo nighair game"
  "Ughairi tena, aaah kumbe siko vizuri adi ulitakaughairi manake umejirazimisha mmmh"
  "Yaan simaanishi hivyo, muda ule naandaa chakula nikajikuta nimeshashiba palepale ghafra tuu yan nkajikuta melowa"
  "We nawe acha habari zako utashibaje chakula wakati bado hujala hata kula"
  "Wee kuna vyakula vina harufu nzuri mpaka ukiivuta ile harufu unajihisi kama ndo umeshakula chakula"
  "Mmmh una maneno wewe"
  "Sikufikii leo aisee, wewe ndio kiboko mamy"
   "Nitakuchapa wewe"

Basi stori za hapa na pale ziliendelea zikijumulishwa na utani na michezo ya kimapenzi na wote tukaenjoy kwakweli,  baada ya hapo tulipumzika na kukaingia kuoga...

"Merry"
"Abee"
"Angalia huku,"
"Khaaaaaa!!  Nyie wanaume ndo kusema hamridhikagi au? "
"Kwanini? "
"Asa wewe si nimekuhudumia asa hivi tuu mbona karoti yako imesimama hivyo"
"Nnapokwambia wewe uko vizuri, we unakataa"
"Hakuna hapo umedanyanya, sema mnawazaga hayo tuu"
"Hamna banah nilipokuangalia tuu nikakumbuka uliyonipa muda ule..    Aiiiiiiii" manaeno yangu yalikatishwa na hali niliyokuwa naisikia baada ya kuangalia nikamuona mery ananyonya bigboom
"Wee unafanyaje? "
"Mmmmmh" aliitikia akinionyesha mkono nitulia amalize anachokifanya

Hali ya raha ikanijia trna na kuanza kukumbuka tulichofanya muda mfupi nyuma nikajikuta mapigo ya moyo yanaongeA spidi akili inaniambia nikipeleke haraka kiuno maana kulikuwa kuna mvuto kwa mbele ambapo alikuwa anakutymia mery,  alipoona mi nalalmika na kuhangaika ndipo akaongeza spidi na maujanja zaidi,  ndipo nikahiso kama naingia mlango wa peponi kwa raha

"Ooooooh aaaaaah mamy jmn aaaaah shshshshsh,  nakoj..... " maneno yangu yalikatishwa na busu kali ambalo liliendela na kubadilishana juice ya mahaba wakati maji yabaridi kutoka kwenye bomba mvua yakiendelea kutumwagikia na yeye akiendelea kusugua karoti na mkono.

"Aaya bas weka hapa ukojolee ndan" aliishika karoti yangu na kuweka kwenye kitumbua chake na nikaendeleza game sikufika mwendo mrefu nikawa tayari nmeshatema mate maana kwa saa hz alionekana kufanya kwa spidi sana tofauti na tulipokuwa kitandani.

"We mbona asa hivi unanifanyia hivi na hukunofanyia hivi wakati ule"
"Asa ningekufanyia hivi hata vile vinne vyako ungefika kweli"
"Mmmh nyie wanawake balaa"
"Ubalaa wetu hauzidi kwenu kwa kweli"
"Aaah wap"
"We nimekupa mwili wangu umeutumia unavyotaka muda mfupi tuu uliopita et asa hivi tena unataka khaaa!!!."
"Aaaah kawaida banah".

Bas tulipomaliza kuoga tukarudi chumbani, mi nikabadilisha nguo kwani nilikuja na nguo baadhi baadhi kwenye kibegi,  na mery nayeye akabarisha nguo tukaenda eneo la baa ambalo lilikuwepo humuhumu ndani ya hii lodge mi nikaagiza maji ya baridi mery akaagiza castle lite

"We mtoto wewe"
"Vp? "
"We hujala hata kula unaanza kunywa mipombe"
"Nani kakwambia mi sijala"
"Kumbe umekula muda gani wakati muda wote upo na mimi"
"Nimeagiza minyama huko inakuja sijui kama utaweza kuimaliza"
"Heeee!!  Nyama gan?
"Kiti moto"
"Ulijuaje...  Na vyenyewe sijala kitimoto nina muda mrefu kweli yan"
"Ndo subiri ije na umalizage"
"Heeee!!!  Makubwa nimalizage au tumalizage? "
"Eeh ndo hivyo utakavyojua wewe ila mi nnachotaka iishe aise"
"Aaah kuhusu hilo usijali'
"Aya powa"
 
Baada ya muda mfupi alikuja mdada mmoja amevaa nguo za wapishi lakini kumuangalia vizuri nikamgundua kumbe nilikuwa namfahamu na tumesoma nae kipindi nipo form two.

"Haaaaa!!  We asia"
"Abeee"
"Vipi mambo? "
"Safi heee!  Jmn humphrey"
"Eenhe nambie, kaa basi kidogo tuzungumze"
"Aah hapana kuna wateja wengi sana hapa inabidi nikawahudumie"
"Aanha basi chukua hii business card yangu ukipata muda tutazungumza"
"Aaanha sawa nitakucheki,  huyu ndo wifi angu nini"
"Hahah eeh ndio mwenyewe banah"
"Aya asante nashukuru, enjoy chakula"
"Aya asante"

"We vp mnafahamiana kumbe? "
"Daaah alikuwaga ananitetea sana huyu mdada wakati nipo shule"
"Anakutetea kivip"
"Alikuwaga monta alafu mi ndo nilikuwaga msumbufu kama nini kwa hiyo kila siku ye ilikuwa kazi kunitetea tuu"
"Ama kweli unaonekana"

Wakati maongezi yanaendelea simu yangu ikaita kuiangalia nikaona ni baba anaepiga nikapokea
"Hallow? "
"Ee ray fanya haraka urudi nyumbani sasa hivi"
"Usiku huu baba kuna nini"
"Yaani haraka kuna tatizo hapa"

Itaendelea...

Post a Comment

0 Comments