Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

ebitoke avamia mkutano wa mlela

humph the GREAT
 
MSANII wa vichekesho nchini, Anastazia Exavery maarufu kama Ebitoke amevamia mkutano wa Msanii mwezake wa Bongo Movies, Yusuph Mlela na waandishi na kutaka kupigana na mpenzi wa sasa wa Mlela.



Mlela ambaye alikuwa ameongozana na  mpenzi wake mpya pamoja na msanii mwenzake ambaye ni swahiba wake wa muda mrefu, Hemmed PHD. Katika Varangati hilo, Ebitoke amesikika akisema; “Mwacheni nimwonyeshe”, huku akitukana matusi ya nguoni licha ya kudhibitwa na mabaunsa.
Image result for ebitoke na mlela

Ikumbukwe kuwa, Mlela alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Ebitoke na sasa waneachana hivyo Mlela ana kimwana mwingine.
Image result for ebitoke na mlela

Kaka wa Ebitoke amesikika akimwambia Mlela, “Umemuharibia maisha mdogo wangu” huku waandishi wa habari na wasanii wenzake waliokuwepo wakibaki wameduaa.

Post a Comment

0 Comments