yanga kupata katibu mkuu mpya

humph the GREAT
 Uongozi wa Klabu ya Yanga umemtangaza rasmi David Ruhago kuwa Katibu Mkuu wa klabu hiyo kuanzia leo tarehe 11/11/2019. 

Taarifa iliyotolewa leo na Afisa Habari wa Yanga, imesema uteuzi huo umefanywa na kamati yake ya utendaji chini ya Mwenyekiti Dkt. Mshindo Msolla.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post