Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Africa ndio bara ambalo linamaambikizi ya chini kuliko yote

humph the GREAT

 Idadi ya watu ambao tayari wameambukiwa virusi vya corona katika mataifa ya bara la Afrika  imefikia watu 235 000.
Watu  8000  wameripotiwa kugunduliwa kuwa na maambukizi katika bara la Afrika huku watu  200 wakiripotiwa kufariki ndani ya masaa  24.

Idadi ya  visa vya maambukizi vinaripotiwa  kuongezeka  kama ilivyofahamisha taarifa iliotolewa Jumapili.

Idadi hiyo haikufahamisha ni taifa gani barani humo ambalo limeamthirika kwa kiasi kikubwa  na maambukizi ya virusi hivyo.

Watu  201 wamefariki ndani ya masaa  24 na kufanya  idadiya watu waliofariki kufikaiw watu 6281.

Watu   108 832  wamepona maambukizi ya virusi hivyo baada ya kupatiwa matibabu katika mataifa tofauti barani Afrika.

Taarifa  hiyo imesema kuwa  waathirika wengi wanapatikana nchini Misri.

Post a Comment

0 Comments