Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

NAFASI ZA KAZI: VIJANA WAWILI WANAHITAJIKA HARAKA

Wanatakiwa vijana wawili kwa ajili ya kusambaza magazeti kwa kutumia pikipiki. Vijana hawa wanatakiwa haraka.
Sifa:
1.Awe na uwezo wa kuendesha pikipiki na ni sharti awe na leseni.
2.Awe anajua hesabu,kusoma na kuandika vizuri.
3.Awe anafahamu vizuri maeneo yote ya jiji la Dar es salaam.
4.Mwaminifu,Anayejituma awe na wadhamini wawili.
5.Asiwe anakunywa pombe na awe anaishi DSM.
Sifa za ziada:Kama ana uzoefu wa biashara ya kuuza na kusambaza magazeti atapewa kipaumbele.
Maombi yaletwe kwa mkono kwa kutumia anuani ifuatayo:
Meneja Mkuu
Global Publishers and General Enterprises Limited
Bamaga - MWENGE
SLP 7534
DAR ES SALAAM
AU Wasiliana na simu no 0715 835 635

Post a Comment

0 Comments