PENNY ATUPIA PICHA MTANDAONI AKIONESHA MAUNGO YAKE YA NDANI



Baada ya kuwa kimya katika akaunti yake ya instagram, Penny ambaye ni mtangazaji wa kituo cha DTV kilichopo Dar, amerudi kwa kasi katika mtandao huo baada ya kuachia picha yenye mitego ikionesha kitovu chake, Sasa sijui ndio kutaka Tension kwa Watu au ndio nini Hii. Tazama hapo chini picha hiyo.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post