TIMBWILI: JINSI WEMA SEPETU ALIVYOZIVAMIA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHER (VIDEO)

Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. 




Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post