Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Kiswahili Form 1

humph the GREAT

Kiswahili ni Lugha ya kibantu; inatumika kama lugha ya taifa au rasmi katika baadhi ya mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kama vile Tanzania, DRC, Kenya, Burundi, Rwanda na Uganda. Hadi hivi sasa lugha ya Kiswahili inakadiriwa kuzungumzwa na watu zaidi ya milioni 60 duniani kote. Mataifa mengine ya Afrika yanayozungumza Kiswahili ni pamoja na Comoro, Zambia, Malawi na Msumbiji. Kiswahili pia kinazungumzwa katika baadhi ya nchi za Kiarabu kama vile Yemen, UAE n.k

    1. Lugha kama Chombo cha Mawasiliano
      1. Elezea maana ya mawasiliano
      2. Fafanua dhima za lugha katika mawasiliano
      3. Fafanua matumizi na umuhimu wa lugha
    2. Matamshi na Lafudhi ya Kiswahili
      1. Elezea maana ya matamshi
      2. Bainisha sauti za lugha ya Kiswahili
      3. Elezea kuhusu lafudhi ya Kiswahili
    1. Ubainishaji wa aina Saba za Maneno
      1. Bainisha aina saba za maneno ya Kiswahili
    2. Ufafanuzi wa aina za Maneno
      1. Elezea maana ya kila aina ya neno
    3. Matumizi ya aina za Maneno katika Tungo
      1. Elezea matumizi ya aina za maneno katika tungo
    4. Matumizi ya Kamusi
      1. Elezea maana ya Kamusi
      2. Elezea jinsi ya kutumia kamusi
      3. Fafanua taarifa ziingizwazo katika kamusi
    1. Dhima ya Fasihi
      1. Elezea dhana ya fasihi
      2. Fafanua dhima za fasihi katika jamii
    2. Aina za Fasihi
      1. Fafanua dhana ya fasihi simulizi
      2. Elezea sifa na dhima za fasihi simulizi
      3. Fafanua dhana ya fasihi andishi
      4. Elezea sifa na dhima za fasihi andishi
      5. Onesha tofauti kati ya fasihi andishi na fasihi simulizi
    1. Ubainishaji wa Tanzu za Fasihi Simulizi
      1. Bainisha tanzu za fasihi simulizi
    2. Ufafanuzi wa Vipera vya Tanzu za Fasihi Simulizi
      1. Fafanua vipera vya hadithi
      2. Fafanua vipera vya ushairi
      3. Fafanua vipera vya semi
      4. Fafanua vipera vya maigizo
    3. Uhakiki wa kazi za Fasihi Simulizi
      1. Elezea umuhimu wa uhakiki wa kazi za fasihi simulizi
      2. Elezea vigezo vya uhakiki wa kazi za fasihi simulizi
      3. Elezea uhakiki wa hadithi
      4. Hakiki matumizi ya semi katika hadithi
    1. Usimulizi wa Hadithi
      1. Elezea njia za usimulizi wa hadithi
    2. Usimulizi wa Habari
      1. Fafanua taratibu za usimulizi wa matukio
    1. Insha za Wasifu
      1. Elezea hatua za uandishi wa insha
      2. Fafanua muundo wa insha
      3. Tofautisha insha za kisanaa na zisizo za kisanaa
    1. Barua za Kirafiki
      1. Elezea muundo wa barua za kirafiki
    1. Kusikiliza
      1. Elezea mambo ya kuzingatia katika ufahamu wa kusikiliza
      2. Jibu maswali kutokana na habari uliyosikiliza
      3. Fupisha habari
    2. Kusoma kwa Sauti
      1. Elezea mambo ya Kuzingatia katika ufahamu wa kusoma kwa sauti
      2. Jibu maswali kutokana na habari uliyosoma
    3. Kusoma Kimya
      1. Jibu maswali kutokana na habari uliyosoma
      2. Fupisha habari
    4. Kusoma kwa Burudani
      1. Fafanua mambo ya kuzingatiwa katika ufahamu wa kusoma kwa burudani

Post a Comment

0 Comments