Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Hotuba ya Rais Shein wa Zanzibar kumuenzi David Livingstone ikiwa ni miaka 141 tangu kukomeshwa kwa biashara wa watumwa


Ndugu Wananchi, Tuna wajibu mkubwa wa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa afya na uzima tukaweza kujumuika leo hii. Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa viongozi wa Kanisa la Anglikana wa Dayosisi ya Zanzibar na waumini wote wa Kanisa hili kwa kunialika kuja kuungana nanyi katika uzinduzi wa kongamano la kumuenzi Dk. David Livingstone kwa kutambua mchango wake katika kukomesha

Post a Comment

0 Comments