Katarina Karatu, mchekeshaji wa kike namba 1 Tanzania

humph the GREAT


Asee sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy nimeona kwa Katarina yaani huyu Dada ni shidaa kila nikiangalia vipande vyake vya video nacheka mbavu sina. Alafu cha ajabu haendani na comedy kabisa, ukimuona mtoto mrembo kabisa aisee

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post