Mama wa miaka 52 akiri kufanya mapenzi na mwanae

humph the GREAT
  Mama mmoja aliye na miaka hamsini na mbili amekiri kuwa na uhusiano wa kimapenzi  na mwanawe.
Yvonne Banda, kutoka Zambia amekiri kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanawe na kusema kuwa hufanya mapenzi naye kila jumatano kama taratibu za tambiko.

Mama huyo amesema kuwa alianza kufanya hivyo na mwanawe, Abel, tangu mwaka elfu mbili na mbili baada ya kuamrishwa na mganga.

Aitha, amesema kuwa ‘shughuli’ hiyo imeisaidia bishara yake kunawiri, ijapokuwa anasema kuwa inamfanya kupoteza nguvu.

Akieleza katika misa ya kanisa moja nchini humo, Banda amesema kuwa ameshindwa kuacha kufanya mapenzi na mwanawe kwa woga kuwa atapoteza utajiri wake. 


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post