ZIJUE FAIDA NA HASARA ZA MITANDAO YA KIJAM

humph the GREAT\

II

Faida na hasara ya kutumia mitandao ya kijamii.

Faida
 Mitandao ya kijamii inasaidia watu kutengeneza mahusiano mapya kati na ndugu  marafiki na pia  inaongeza mawasiliano kati ya mtu na mtu.
Mitandao ya kijamii sasa imefungua mlango mpya  wa  habari kwa kuwafanya  watu waweze kutuma ujumbe mfupi wa maandishi bure, , sambamba  na  kubadilishana picha na habari mbalimbali kupitia mitandao hii ya kijamii

Mitandao ya kijamii imesaidia kuwaleta watu pamoja wenye mitizamo inayofanana. Mitizamo ya kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni, kimapenzi,
Ni rahisi

Hasara za mitandao ya kijamii:
Mitandao ya kijamii imewafanya watu kutumia muda mwingi kuwasiliana mitandaoni na kuwafanya kuwa  wazembe sana kuwasiliana uso kwa uso.

Vijana wengi wanaoibukia kwa sasa hasa wenye umri kuanzia miaka 13 wako kwenye wakati mgumu sana kuathirika na matumizi ya mitandao ya kijamii na hivyo baadhi kutofanya vizuri katika mitihani yao

  utoaji mwingi wa taarifa za mtu binafsi inaweza kabisa kumfanya mtu kuwa muhanga wa mapenzi au wizi wa fedha na ujangiri mbali mbali mitandaoni. Watu wanatumia taarifa hizo kufanya uharifu.

Kwa hiyo vijana wanatakiwa kuwa makini na taarifa zao wanazoziweka mitandaoni. Hii inaweza kusababisha hata mtu kufukuzwa kazi kama mtu anaweza kutoa taarifa fulani za mwajiri ambazo zinaweza kuleta mkanganyiko kwenye taasisi fulani.
Mitandao ya kijamii inawafanya watu wengi kutumia muda mwingi  na kushindwa  kufanya kazi zingine.

Inaweza kumchafua mtu  ama kumkashifu  ,ikiwemo kuwekewa picha za utupu ,kuzushiwa jambo ambalo hajalifanya.

Swali la pili
Umejifunza  nini siku ya leo  na  mambo gani  mapya  ulikuwa huyafahamu  na yatakusadia  vipi  kuboresha  kazi  ya uandishi  wa habari.

(I) Katika kuhakikisha  usalama  wa teknolojia  ya habari niliyojifunza  ni  kuwepo kwa  matishio  katika programu   hivyo  sipaswi  kutoacha  kompyuta inawaka  muda ninapoondoka  lazima nihakikishe nazima kwanza .

Ii Kutumia barua pepe  yenye  usalama wa kuhifadhi  taarifa  muhimu ambazo ni nyeti

Iii Nimejifunza namna ya kuwekea neno la siri  kazi zangu,namna ya kuficha  mafaili , ili mtu asiingie kufanya udukuzi wa nyaraka  zangu . Na namna ya kufungua user name.

Ambayo sikuyafahamu kabisa ni  spyware , Kundi la programu  za kompyuta   ambazo  zina uwezo  wa kufuatilia  kazi za mtu   katika   na kupeleka  taarifa kuhusu  kazi unayofanya  kwa mtu mwingine   ambaye hahitajiki kujua  kile unachokifanya 

Kingine ni   madhara ya  kufungua  meseji zilizoingia , kwenye email  yako ambazo hauzijui   au  kufanya attachment  inaweza kuleta virus wengi  kwenye kazi zako  na hatimaye baadhi ya mafaili kutafunwa. Kwa hiyo lazima  kuhifadhi kwanza attachment ili kupunguza  uwezekano wa kuambukizwa  virusi.

Suala la kuupdate mara kwa mara antivirus  ni muhimu ili kuendelea kulinda kazi zako.
.
Kutokana na kurasa  shambulizi  za kwenye  tovuti  kuwa chanzo kikuu cha kushambuliwa  kwa komputa  na spyware  unapaswa  kuwa makini  katika kutembelea .

Firewalls  window defender.
Ni programu  ya kwanza katika kompyuta ambayo inaona taarifa  zinazokuja  kwenye  intaneti  pia ni programu  ya mwisho  kushughulikia taarifa kabla  hazijatumwa  na intaneti.

Pia inafanya kazi kama mlinzi  inapokea kukagua na kutoa maamuzi   .
mashambulizi  ya kimazingira  physical threat .

bila kujali  komputa  yako ina ulinzi  kiasi gani ,kuna wakati  unaweza  kukuta kompuyuta  nzima  au nakala  za taarifa  zimepotea  kuiibiwa au kuharibiwa .

unahitaji kuwa na sera ya wazi ya kulinda  komputa yako  na vifaa vya  kuhifadhia taarifa  kutokana na wezi ,kufuli nzuri  madirisha .

Jenga  eneo la mapokezi  ambapo  wageni  wanaweza  kupokelewa  kabla  hawajaingia  ofisini  na chumba cha kukutania ambacho  ni tofauti  na chumba chako cha kazi.

Hifadhi  nyaya  za mawasiliano  ya intaneti  kwa kuhakikisha  zipo  ndani ya ofisi .

Fungia  vifaa vya mtandao  katika chumba  salama au kabati  kama vikiwa wazi wenye  nia mbaya  wanaweza  kuingiza  program  mbaya  ambazo zinaweza  kuharibu  taarifa  zako au mtandao  wa komputa.

Mtandao usiotumia  nyanya wireless network  unapaswa kutoruhusu  wengine  kuingia kiurahisi.

Linda komputa  yako  kwa kutumia neon la siri .
Usiache  nakala  moja  tu ya taarifa  zako kwenye  komputa

Fungia  kompyuta  yako  kwa neon la siri  kila unapoondoka  kutoka  kwenye kompyuta.

Hakikisha  unakuwa  na vifaa vinavyohamishika  kiurahisi  ikiwa ni pamoja na laptop ,simu  za kiganjani  na vinginevyo wakati wote.

Usionyeshe laptop na vifaa vingine  kwa wezi.

Hakikisha  neno la siri  ni refu ,jinsi neno la siri  linavyokuwa  refu  ndivyo  inakuwa vigumu  program

Neno la siri linapaswa kuwa gumu  kufikiri.

Usilifanye  liwe na uhusiano  na wewe ,usichague  jina  lako  ,tarehe  ya kuzaliwa  ,namba  ya simu ,jina la motto  au kitu chochote  kile ambacho  mtu anaweza  kufikiri  na kukitumia .

Unatakiwa  kichwani  bila  kuandika  mahali .

Lifanye  liwe siri yako ,usishirikiane na mtu  yoyote  neno lako la siri  labda  iwe muhimu  mno.

Lifanye  liwe  la kipekee ,usitumie  neno la siri  katika  kila anuani yako  ya barua pepe.

Fanya neno la siri  kuwa jipya  wakati wote ,badili  neno lako  la siri mara kwa mara  pengine  mara moja  katika kila miezi mitatu.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post