humph the GREAT
Baada ya simba kukata rufaa kuhusiana na ushindi ambao wapinzani wao wameupata na kuifanya kesi hii kufika mbali zaidi FIFA watoa yao ya moyoni
Shirikisho la Soka la Kimataifa limerudisha majibu ya rufaa ya Simba na kusema, matokeo yanaendelea kubaki kama yalivyo.
Hivyo, kwa majibu hayo ya Fifa, Yanga wanaendelea kubaki mabingwa wa Ligi Kuu Bara na Simba wakiwa katika nafasi ya pili.
Shirikisho la Soka la Kimataifa limerudisha majibu ya rufaa ya Simba na kusema, matokeo yanaendelea kubaki kama yalivyo
Baada ya simba kukata rufaa kuhusiana na ushindi ambao wapinzani wao wameupata na kuifanya kesi hii kufika mbali zaidi FIFA watoa yao ya moyoni
Shirikisho la Soka la Kimataifa limerudisha majibu ya rufaa ya Simba na kusema, matokeo yanaendelea kubaki kama yalivyo.
Hivyo, kwa majibu hayo ya Fifa, Yanga wanaendelea kubaki mabingwa wa Ligi Kuu Bara na Simba wakiwa katika nafasi ya pili.
Shirikisho la Soka la Kimataifa limerudisha majibu ya rufaa ya Simba na kusema, matokeo yanaendelea kubaki kama yalivyo
Tags
Michezo na burudani