Lisu alizindua lingine Bungeni

humph the GREAT
 Image result for tundu lissu 
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amesema kuwa msimamo wake wa kupinga kitendo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli cha kuzuia mchanga wa dhahabu kusafirishwa nje uko pale pale.

Ameyasema hayo  bungeni mjini Dodoma, ambapo amesema kuwa kuzuia mchanga huo wa dhahabu kusafirishwa kwenda nchi za nje kutaathiri uchumi kwani atakuwa ameenda kinyume na mikataba ya kimataifa.

“Rais Dkt. Magufuli amefanya kitendo ambacho ni kinyume na mikataba ya kimataifa, kwa hiyo hapa tutegemee hasara kubwa na kutengwa na jumuiya ya kimataifa,”amesema Lissu

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post