JINSI DIAMOND ALIVYOFANA KWENYE HARUSI YA SHILOLE

humph the GREAT

Rais wa WCB, Diamond Platnumz alitoa kali ya mwaka katika sherehe ya harusi ya Shilole na Uchebe baada ya kumtaka bibi harusi huyo kuchagua zawadi ambayo anaitaka kutoka kwake. Baada ya Diamond kusema hivyo, Shishi alimuomba muimbaji huyo kujitolea kumtangazia biashara yake mpya ya Shishi Chili, ambapo Diamond alikubali ombi hilo.

Harusi ya Shilole: Diamond Amtaka Shilole a Chague zawadi, Shishi Achagua Hii (Video)

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post