No title

WASANII kutoka label ya WCB, Lavalava, Hamonize, Rayvan na Rich Mavoko leo  wamefanya shoo kali  wakati wa kutambulishwa msanii Maromboso (Mbosso) kwenye viwanja vya Mwembe Yanga baada ya kuwa msanii mpya wa label hiyo. Awali Mbosso alikuwa ni msanii kutoka kwenye kundi la Yamoto Band. 

 
 
 

 
 

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post