Ajari kubwa yatokea Tanga

humph the GREAT

Muonekano wa ajali hiyo baada ya basi hilo kuanguka katikati ya barabara.
Basi la Kampuni ya Maqadir lililokuwa linatoka jijini Tanga kwenda Kijiji cha Mtae, Wilaya ya Lushoto mkoani humo, limeanguka asubuhi  leo Aprili 10, 2018 katikati ya barabara kuu ya Segera-Tanga katika kijiji cha Mpakani, kata ya Kerenge wilayani Muheza mkoani Tanga.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post