simba ni club kubwa africa

humph the GREAT
 Simba ni klabu kubwa sana sio tu Tanzania bali Afrika nzima, angalia tukicheza mikoani au jana tulivyopokelewa Dar es Salaam! #MoSimbaAwards2019
      

Klabu hii ina mila na desturi zake, klabu hii ipo katika mioyo ya Watanzania wengi kuliko vile tunavyodhani. Vuta picha Simba ikienda mikoani katika viwanja vyote namna inavyopata mapokezi na kujaza viwanja, au iangalie sura ya mji wetu wa DSM ilivyokuwa jana wakati tuliporudi na kombe kutoka
Morogoro. #MoSimbaAwards2019

 

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post