"Jamani amkeniiiiiiiiiiii , mtoto wa Dada wa Taifa kaanza chuo kikuu, tena sio chuo cha kitoto ni chuo one of the best in UK and in the world. OMG guys, my first born child is officially a Durham University Student. She had her matriculation yesterday.
"Uwiiiiiiiii naombeni muamke tena, ikiwezekana leo msilale tu
jamani. Mjue mwanangu ndo alisaini kitabu cha matriculation kwa niaba ya
wanafunzi wooote wapya wa hatsfield college. Uwiiii uwiiii jamani tumbo
la uzazi linaniuma kwa furaha leo.
Nyie nyie
nyie, kumbe mwenzenu nilizaa haswaaa. Jamani msiwe mnatoa mimba. Mtoto
nilizaa kwenye mazingira magumu huyu, Mungu ndo anajua. Oneni leo kawa
mtu katika watu. Je ningekunywa P2?" Ameandika Mange ambaye Ni mmoja wa
watu wenye ushawishi mitandaoni.
humph the GREAT
0 Comments