Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

FIESTA 2014 IRINGAAAAAAAAAAAAAAAAA

Kama wewe ulikosa siku hiyo hapo ilyopita kwa kwenda kuwashuhudia jamaa wakifanya makamuzi ya uhakika basi huu hapa ndioulikuwa mchongo mzimaaaaa...

madee akiamshaamsha ni sheedah 




Rais wa manzese akiendelea kububujika ya kumoyooo 


Mdada mwenye ulemavu wa macho lakin.... dah alikimbiza ile mbayaaa
nimekuelewa kinoumaaaaa attu / yaani wewe ni SUPER DIVAAAAA  wa ukweeeee


ommy na vanessa mdee tulikuwa nao piyaaaaaa 

 mi sikuishia hapo tu nikarudi tena na hawa majamaa, ni MAKOMANDO walifanya yao kikwelkweli
mmetishaaaaaaaaa......

Linah je ulimkosa ? hahahaha! bas ulikosa meeengi mnooo


juma nature naye aliiiiishaaaaa kinoumaaaaaaaa

Si ndo wakampandisha mbabe jukwaani, duh...
afande eeh umetisha ile mbayaaaaa

Msechu naye tulimfaidi kinoumaaaaaa

Mi and u, ommy poz kwa poz na vanessa mdee walitishaaaa

Mshikaji wangu naye si akapewa nafasi ya kutiksa jukwaaa.,,..
acha weee mbona nai nai ilizimika ile mbayaaaa

Dogo janja nae akapewa nafasi, wacha alifuruge jukwaa.... eeh bwana ee we acha tuu

Na mida kama ya saa sita saa 7 hivi wakamleta dear GAMBE eeh bwanaa eeh we achaga tyu yaan

Mr. blue na yeye alitishaaaaa

Vanesa taratibu bwana


Ndipo mizuka ikapanda ee ni sh... sh...




Baba ...... alitiiiiiiiisha 







GODZILLA








fiesta 2014 IRINGA NI SHSHHHHHHH...




















Post a Comment

0 Comments