Kama wewe ulikosa siku hiyo hapo ilyopita kwa kwenda kuwashuhudia jamaa wakifanya makamuzi ya uhakika basi huu hapa ndioulikuwa mchongo mzimaaaaa...
nimekuelewa kinoumaaaaa attu / yaani wewe ni SUPER DIVAAAAA wa ukweeeee
mi sikuishia hapo tu nikarudi tena na hawa majamaa, ni MAKOMANDO walifanya yao kikwelkweli
mmetishaaaaaaaaa......
afande eeh umetisha ile mbayaaaaa
acha weee mbona nai nai ilizimika ile mbayaaaa
Ndipo mizuka ikapanda ee ni sh... sh...
fiesta 2014 IRINGA NI SHSHHHHHHH...
Tags
Music

















