humph the GREAT
Raisi anaehakikiwa na kuamini kama nimfano wa kuigwa africakwa msimamo alionao kwa kuiongoza nchi bila kubabaika na anajiamini sana... Tukio ambalo limewaacha watu wakitoa macho kwa kustaajbu na kutokutokea kwani haikufikirik pale ambapo alisimama na kusema kwamba...
BREAKING NEWS
RAIS MUGABE AACHIA NGAZI
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameamua kuachia ngazi.
Taarifa za kuaminika zinasema ya kwamba Rais Mugabe aliachia ngazi leo asubuhi wakati akishuka toka kwenye ndege bila kusaidiwa na mtu yeyote.
Raisi anaehakikiwa na kuamini kama nimfano wa kuigwa africakwa msimamo alionao kwa kuiongoza nchi bila kubabaika na anajiamini sana... Tukio ambalo limewaacha watu wakitoa macho kwa kustaajbu na kutokutokea kwani haikufikirik pale ambapo alisimama na kusema kwamba...
BREAKING NEWS
RAIS MUGABE AACHIA NGAZI
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameamua kuachia ngazi.
Taarifa za kuaminika zinasema ya kwamba Rais Mugabe aliachia ngazi leo asubuhi wakati akishuka toka kwenye ndege bila kusaidiwa na mtu yeyote.
Tags
Burudani


