PICHA 4: Simu ya Adolf Hitler inayouzwa, ilitumika vita ya dunia

humph the GREAT

Kutana na simu iliyokuwa ikitumiwa na Adolf Hitler wakati wa vita kuu ya pili ya Dunia ambapo sasa hivi inauzwa kwa mnada nchini Marekani, ni simu ambayo ina chapa ya Mjerumani huyo na ilipatikana katika ngome ya Hitler kwneye mji wa Berlin mwaka 1945.
Kampuni inayosimamia mnada huo iliyoko Maryland Marekani, imesema kuwa shughuli za mnada zitaanza kwa bei ya Dola 100,000 ambazo ni zaidi ya milioni 200 za Kitanzania.
  

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post