humph the GREAT
Hivi nyie wadada mnaoombwa namba na sie wanaume halafu mnagoma kutoa mna maana gani?
Masuala ya kubania kutoa namba za simu yamepitwa na wakati ,halafu
unakuta demu kazeeka unajua kabisa huyu kakosa wa kumwoa sasa unamwomba
namba ili muyajenge yeye anakua mbishi kutoa
Mdada unaweza kukosa mume kizembe zembe hivi hivi Kwa tabia yako ya kubania kutoa namba
Acheni hizo wahenga wanasema usikatae wito kataa maneno sasa
kinachotakiwa utoe namba then uamsikilize jamaa anataka nini Ila kukataa
jumla kutoa namba unapoteza bahati
0 Comments