humph the GREAT
Msanii Z Anto amesema siku yoyote kuanzia sasa anaachia ngoma yake mpya na video na kusema kuwa watu anaowawaza na kuwafikiria sana kuwa ni Alikiba, Diamond Platnum pamoja na Vanessa Mdee.
Msanii Z Anto
Msanii Z Anto amesema siku yoyote kuanzia sasa anaachia ngoma yake mpya na video na kusema kuwa watu anaowawaza na kuwafikiria sana kuwa ni Alikiba, Diamond Platnum pamoja na Vanessa Mdee.
Msanii Z Anto
Z
Anto anakiri kuwa ujio wake mpya katika muziki wa bongo fleva unakuja
kuleta heshima tena ya muziki huo na kusema kipindi yupo kimya alikuwa
anajifunza mengi kupitia wasanii wa sasa na kusema ameona mapungufu yao
hivyo yeye anakuja kuwafundisha sababu tayari amewasoma na kufanya kitu
kupitia makosa yao hivyo watajifunza kupitia yeye.
Mtazame hapa akifunguka mengi zaidi kuhusu ukimya wake, mafanikio yake pamoja na ujio wake huo mpya ambao yeye mwenyewe anasema ni ujio wa hatari.
https://youtu.be/F0si4A7AArw
Mtazame hapa akifunguka mengi zaidi kuhusu ukimya wake, mafanikio yake pamoja na ujio wake huo mpya ambao yeye mwenyewe anasema ni ujio wa hatari.
https://youtu.be/F0si4A7AArw