Z. anto : Level zangu ni za akina Diamond na Ali kiba

humph the GREAT
 Msanii Z Anto amesema siku  yoyote kuanzia sasa anaachia ngoma yake mpya na video na kusema kuwa watu anaowawaza na kuwafikiria sana kuwa ni Alikiba, Diamond Platnum pamoja na Vanessa Mdee. 

Related image  
                                        Msanii Z Anto
 
Z Anto anakiri kuwa ujio wake mpya katika muziki wa bongo fleva unakuja kuleta heshima tena ya muziki huo na kusema kipindi yupo kimya alikuwa anajifunza mengi kupitia wasanii wa sasa na kusema ameona mapungufu yao hivyo yeye anakuja kuwafundisha sababu tayari amewasoma na kufanya kitu kupitia makosa yao hivyo watajifunza kupitia yeye. 
Mtazame hapa akifunguka mengi zaidi kuhusu ukimya wake, mafanikio yake pamoja na ujio wake huo mpya ambao yeye mwenyewe anasema ni ujio wa hatari.  

https://youtu.be/F0si4A7AArw 

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post