humph the GREA
Katika kuwa na ziara mbalimbali mkoa wa iringa leo siku ya jumapili ilikuwa ni siku ambayo mheshimiwa makam wa raisi kufika katika kiwanda cha karatasi cha Mgololo na kufungua baadhi ya miradi ya kijamii, mbali na hivyo kumekuwa na tafran kubwa kwa wafanya biashara hao ambao wamelalamika kuwa sio haki kwao kufungiwa biashara zao... Mbali na hivyo wanachukuliwa kinguvu kwenda kwenye mkutano huo..
Katika kuwa na ziara mbalimbali mkoa wa iringa leo siku ya jumapili ilikuwa ni siku ambayo mheshimiwa makam wa raisi kufika katika kiwanda cha karatasi cha Mgololo na kufungua baadhi ya miradi ya kijamii, mbali na hivyo kumekuwa na tafran kubwa kwa wafanya biashara hao ambao wamelalamika kuwa sio haki kwao kufungiwa biashara zao... Mbali na hivyo wanachukuliwa kinguvu kwenda kwenye mkutano huo..
Baadhi ya wafanya biashara ambao wamefungiwa biashara zao
Moja ya askari mgambo akiwaelewesha wafanya biashara
Abaadhi ya askari mgambo waliokuwa wanawasimamia watu kufunga maduka.
Tags
HABARI






