Diamond kupewa jezi MAREKANI

SIMBA 🦁 @diamondplatnumz 🇹🇿 Amekabidhiwa Jezi Na Timu Kubwa Duniani 🌍 @washingtonnfl Ya (American Football) 🏈 🇺🇲


#Diamond Amekabidhiwa Jezi Hiyo Iliyoandikwa "PLATNUMZ" Pamoja na Namba 99 Mgongoni Ikiwa Ni Ishara Ya Kuthaminiwa na Timu Hiyo Kubwa Duniani 


Kupitia Ukurasa Wao Wa Instagram #Washingtonnfl Wamethibitisha Hilo Kwa Kum-Post SIMBA, Kisha Kusindikiza Ujumbe Mzito Uliosomeka 


"@diamondplatnumz repping the Burgundy & Gold 🔥" - Washington NFL


Timu Hii Ya #Washingtonnfl Inashikilia Nafasi Ya Pili (2) Kwenye Ligi Ya Mpira Wa Marekani 🏈


#Diamond Kwa Sasa Yupo Nchini Humo Kwa Ajili Ya Tour Yake (#diamondplatnumzusatour2021) Ambapo Anatarajia Kwenda Ku-Perform (🇺🇸 Minnepolis Oct 15, Ijumaa,  Denver Oct 16, Jumamosi ) 


#ThisIsAfrica #AfricaIsWatching #WasafiDigital

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post