GEITA: MWANAMKE AONJA JOTO YA JIWE ,ACHARAZWA VIBOKO HADHARANI NA SUNGUSUNGU KWA KUVAA KIMININB

-Hawa ni sungusungu kutoka kata ya Masengwa wilaya ya Shinyanga siyo wa  GeitaAskari wa jadi maarufu kama sungusungu wa mtaa wa Mwatulole kata ya Kalangalala mjini Geita wanadaiwa kumdhalilisha na kumfanyia ukatili mwanamke mmoja kwa kumkamata na kumcharaza viboko  kwa tuhuma za  kuvaa nguo fupi (kimini).Inadaiwa kuwa walichukua uamuzi huo baada ya kamanda wao kuwaamuru na kutangaza


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post