Walishtuka Wakasepa, Wakatusua

humph the GREAT
 
MVUTO wa makundi mengi yanayofanya Bongo Fleva umekuwa ukipungua kila siku huku namba ya wasanii ambao wanafanya muziki wa peke yao (solo artist) ikiongezeka.

Ongezeko hilo linaifanya tasnia hiyo kuwa na ushindani mkubwa ambapo kila mmoja anafanya kile kilicho bora kwa ajili ya kuwateka mashabiki.
https://youtu.be/PKOaA9A-Y3A

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post