madktari kufutiwa vyeti vyao

​chanzo. Jamii forum 

ELIMU: Chuo Kikuu cha St. Augustine kimebatilisha Shahada ilizotoa kwa Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo Kikuu cha #Afya na Sayansi Shirikishi cha St. Francis (#SFUCHAS) kuanzia Mwaka 2015-2019


Taarifa kutoka Chuoni hapo zinadai Madaktari hao wamegoma kurejesha Nyaraka za Matokeo (Transcripts) ambazo walipewa bila Baraza la seneti la Chuo kuwa na taarifa na kuziidhinisha


Soma https://jamii.app/DegreeZafutwa


#Governance

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post